MAWAZIRI WA SADC WAPITISHA ITAFAKI KUENDELEZA UTALII
Na Barnabas Kisengi-Dodoma Mawaziri wa Nchi Wanachama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC wamepitisha itifaki ya kuendeleza utalii ili kuongeza mchango wa sekta ya utalii katika uchumi wa nchi za SADC. Itifaki hiyo itaimarisha shughuli za utangazaji wa utalii na hivyo kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea Nchi za SADC. Hayo yamebainishwa leo Jijini
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed