MAWAZIRI WA SADC WAPITISHA ITAFAKI KUENDELEZA UTALII

Na Barnabas Kisengi-Dodoma  Mawaziri wa Nchi Wanachama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC wamepitisha itifaki ya kuendeleza utalii ili kuongeza mchango wa sekta  ya utalii katika uchumi wa nchi za SADC. Itifaki hiyo itaimarisha shughuli za utangazaji wa utalii na hivyo kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea Nchi za SADC. Hayo yamebainishwa leo Jijini